Friday, September 12, 2008

Ray c

Huyu ni mwana dada anayefahamika kwa jina la Rehema chalamila alimarufu kama ray c kwa jina la usanii wa music wa bongo fleva hapa nchini tanzania ila nampa pongezi huyu kwa nyimbo yake ambayo kafanya colabo na chid benz imesimama kweli hongera sana.

No comments: