Thursday, September 11, 2008

Latoya

Huyu ni bbinti mzuri sana ambaye yupo huko bba3[big brother 3] tunatarajia mazuri kutoka kwake kwa mimi navyoona huyu ndiye atakuwa mshindi maana yake tabia yake kiujumla na tena ni mzuri bba3 nzima so naomba watanzania tumpe shavu la uakika.

No comments: